-
41
Usawiri Wa Mwanamke Katika Methali Za Kikonzo.
Published 2024“…Methali mbali mbali za Kikonjo zilikusanywa na kutengenezewa tafsiri isiyo rasimi katika Kiswahili ili kutimiza lengo la kwanza.Ili kufikia lengo la pili, uchunguzi makinifu ulifanywa na mtafiti akishirikiana na wazee ili kuona jinsi mwanamke anavyosawiriwa katika methali hizo kwa mfano kama asiye na mapenzi ya dhati, chombo cha starehe, mtumwa, mvivu, na mtu asiye na siri na kadhalika. …”
Get full text
Thesis -
42
KISWAHILI NA MAENDELEO YA KILIMO
Published 2020“…Kilimo ni asasi maalumu ambayo haiwezi kuepukika katika uhalisia wa maisha ya binadamu.Ni miongoni mwa asasi ambazo zinachangia pakubwa katika maendeleo ya nchi yoyote ile.Mahali ambapo tumefikia ni vigumu kuangalia tu nchi moja ila kuangalia maendeleo ya Afrika Masahriki kwa jumla.Maendeleo huanzia pale ambapo jamii ina uhusiano wa mawasiliano na utamaduni.Afrika Mashariki lugha mwafaka ambayo inawezesha mendeleo ya kilimo ni Kiswahili.Kiswahili kinauwezo wa kuelezea kwa kina maswala mengi na kueleweka juu ya uimarishaji wa kilimo.Ukulima hauwezi kuepukika,iwe ni wa kiwango cha matumizi ya kawaida ya nyumbani ama ukulima kama mfumo wa biashara.Tangu kuanzishwa kwa matumizi ya Kiswahili katika asasi mbali mbali,Kuna mambo mangine maandishi mengine yamebakimkatika lugha ya kigeni na hakuna ufafanuzi wowote katika Kiswahili. …”
Get full text
Article -
43
Historical Legends of the Volga-Ural Muslims concerning Alexander the Great, the City of Yelabuga, and Bāchmān Khān
Published 2000-07-01“…Since the beginning of the 19th century the written traditions of the Volga-Ural Muslims have recorded a cycle of historic and genealogical legends involving Iskandar Dhū 1-Qarnayn (Alexander the Great) and the city of Yelabuga, located on the Kama River, today within the Russian Federation's Republic of Tatarstan. …”
Get full text
Article -
44
RIVER WATERS HARDNESS VARIATIONS ON THE TERRITORY OF THE REPUBLIC OF TATARSTAN
Published 2020-06-01“…Since the formation of rigidity largely depends on local features of the territory and, first of all, on the heterogeneity of the geological structure of the basin, the analysis of its changes was made commensurate with the geological structure of the three large geographical regions of the Republic of Tatarstan − Pre-Volga, Pre-Kama and Zakamye. The formation of hardness is also influenced by the anthropogenic factor. …”
Article -
45
Uchunguzi Linganishi wa Usawiri wa Mwanamke Katika Jamii ya Wanyankore na Tamthilia ya Mama Ee Ya Ari Katini Mwachofi.
Published 2024“…Sampuli ya watu kumi na watano yaani wanawake watano kutoka kila kijiji teule katika kata la Ruhaama ndio walifanya kama watoa taarifa pia data nyingine zikatolewa kwa tamthilia ya Mama ee iliyoandikwa na Ari Katini Mwachofi. …”
Get full text
Thesis -
46
Uamilifu wa Sifa katika Mfumo wa Fonimu Konsonanti za Kiswahili.
Published 2024“…Kwa ujumla, misingi hii inashirikiana kuukilia kaida za mfumo wa fonimu za Kiswahili kama uelekeo wa msambao wa fonimu na nafasi za kutamkia. …”
Get full text
Article -
47
“Liikumisega” vene laulude kultuurilisi tähendusi Udmurdimaa Debjossõ rajooni Varni külas
Published 2024-12-01“…The correlation of these songs with Russian songs of the round dance tradition in the Kama-Vyatka interfluve allows classifying them as “songs with movement”. …”
Get full text
Article -
48
Uhakiki Wa Mtindo Wa Lug Ha Ka Tika Riwaya Ya Ndoto Ya Almasi Na Ken Walibora.
Published 2024“…Japo huu ndio ukweli, tafiti nyingi zilizofanywa hazijaangazia mtindo kama kipengele kinachojisimamia na tena maarufu katika kufafanua maudhui.Vipengele vya kimtindo pia vina ushirikiano na uhusiano mkubwa katika kupitisha ujumbe uliokusudiwa katika kazi ya kisanaa. …”
Get full text
Thesis -
49
Chang Am Oto Za Utekelezaji Wa Programu Ya Kisw Ahili Kwa Wanafunzi Wa Utalii Tukilenga Chuo Kikuu Cha Kabale.
Published 2024“…Utafiti huu utakuwa na malengo yatakayouongoza katika ukusanyaji wa data uwanjani kama nia ambayo ilinisudia kuchagua mada hii ya utafiti. …”
Get full text
Thesis -
50
Mchango wa Fasihi Andishi ya Kiswahili Katika Kukuza Stadi za Uandishi Lugha ya Kiswahili kwa Wanafunzi wa Shule za Upili Katika Munisipali ya Kabale Wilayani Kabale.
Published 2025“…Fasihi andishi ni sehemu muhimu ya utamaduni na elimu, na inachangia pakubwa na uelewa wa wanafunzi.Mbinu za utafiti zilizotumiwa ni mbinu ya maktaba, mbinu ya hojaji, mahojiono, sampuli lengwa, mbinu za ukusanyaji wa data iliyotumika kutafuta data kwa shule za upili mbalimbali, kusoma kazi ya watafiti wengine nakusoma nyaraka mbalimbali katika maktaba ya chuo kikuu cha kabale.Fasi andishi inajumuisha Vitabu, Riwaya, Tamthilia, Hadithi fupi, Novela, Ushairi, na maandiko mengine ambayo yameandikwa kwa lugha ya Kiswahili.Inatoa mifano halisi ya matumizi sahihi ya lugha, muundo wa sentensi, na mbinu mbalimbali za uandishi. kwa wanafunzi wa shule za upili, kusoma fasihi andishi kunaweza kuwasaidia kuelewa vizuri kanuni za uandishi kama vile matumizi ya sarufi sahihi, mtindo wa kuandika, na jinsi ya kuwasilisha Mawazo yao kwa uwazi. …”
Get full text
Thesis -
51
Assortment of black currant cultivars for the Southern Urals
Published 2020-12-01“…‘Legenda’ (bi = 1.24; Si2 = 0.3), ‘Kama’ (bi = 1.00; Si2 = 0.8), and ‘Dochka’ (bi = 1.15; Si2 = 0.5). …”
Get full text
Article -
52
Hali ya Kiswahili Katika Shule za Upili Wilayani Ntungamo Nchini Uganda.
Published 2025“…Ni jambo la wazi kuwa uchumi duni hufanya nchi ikose kupata maendeleo ilhali uchumi imara hufanya nchi iwe na maendeleo. Nchi zenye nguvu kama vile Marekani na zile za Ulaya zimeweza kupata maendeleo makubwa kwa sababu ya kuwa na uchumi imara. …”
Get full text
Thesis -
53
Dhima ya Mbinu ya Ucheshi Katika Fasihi: Uchunguzi Kifani Diwani ya Dhifa na Karibu Ndani.
Published 2025“…Matokeo ya utafiti yanaonesha kwamba mbinu za ucheshi kama majina ya majazi, misemo, taswira za kuchekesha, tanakali sauti, uradidi, na utohozi zinajitokeza kwa namna mbalimbali katika Diwani hizi mbili. …”
Get full text
Thesis -
54
Rethinking Language
Published 2024-09-01“…Hali hii hujitokeza zaidi katika ngazi ya elimu ya msingi, ambapo lugha ambayo watoto wanaifahamu mara nyingi inatofautiana na lugha rasmi ya kujifunzia na kufundishia. Kwa kutumia Tanzania kama kifani cha uchunguzi, makala hii inajadili umuhimu wa kuwa na mtaala unaozingatia lugha katika mafunzo ya ualimu katika ngazi zote hususani katika ngazi ya elimu ya msingi. …”
Get full text
Article -
55
Uvulivuli wa Tafsriri kutoka Lugha za Asili kwenda Lugha ya Kiswahili Mfano wa Albamu ya Kikinga ya Sumasesu Theatre Art Group.
Published 2024“…Kutokana na uvulivuli huo, makala yanapendekeza utafiti mwingine na mpana zaidi kufanyika kuhusu tafsiri za kutoka lugha za asili kwenda lugha ya Kiswahili kutumia data pana zaidi. Utafiti kama huo ukifanyika unaweza kubadili mtazamo wa wana nadharia kwamba, uvulivuli wa tafsiri ni tokeo la wafasiri kutojua lugha wanazozishughulikia au tofauti za kiisimu kati ya lugha chanzi na lugha lengwa; kwa sababu kiisimu Kikinga na Kiswahili zote ni lugha za Kibantu na pia waliofasiri nyimbo hizo ni wazawa wa Kikinga na ambao sio wazawa wa Kiswahili.…”
Get full text
Article -
56
Replication Study of “Visual Fixation on the Thorax Predicts Bystander Breathing Detection in Simulated Out-of-Hospital Cardiac Arrest”
Published 2024-04-01“…Ili kupanua ushahidi na data inayopatikana juu ya mada hii, tulijaribu kurudia (Utafiti wa 2; n = 73).Mbinu: Washiriki waliokuwa na kifaa cha kufuatilia macho walipoingia kwenye chumba ambamo midoli – iliyowekwa nasibu kama ya kupumua au isiyopumua – iliyokalazwa sakafuni. …”
Get full text
Article